Otile Brown
Watoto na Pombe
[Intro]
Aaah aah... Aaah aah
Aaah aah... Aaah aah
Aaah aah... Aaah aah
Aaah aah... Aaah aah

[Verse 1: Otile Brown]
Ooh bizee napiga hela kama benki
Wanaiga swagga ila haiketi
Look sipigi hutokuta navaa feki
Leo Gucci au Prada
Pengine glasi za mkata
Nakata madem kali zaidi ya Donna Tanasha
Simba wenu mlanyasi meno haiga nyama
Sishoboki hata ngoma zikibuma
Still Sipendi mazoea
Hata ukinichekea nauchuna

[Hook]
Baby whats your name? kuja ujumuike nasi
Kamata kinywaji acha wasi wasi
Na kama tinga linazima ita taxi
And it's all on me
Bado nasoma namba
Napenda watoto hii darasa
Punguza selfie nitakukacha
[Chorus]
Watoto na pombe, watoto na pombe
Watoto na pombe, (nilichofuata ni)
Watoto na pombe, watoto na pombe (pombe)
Watoto na pombe
Pombe... (aaaaaah) totos
Pombe... (aaaaaah) totos

[Verse 2: Mejja]
Wananiita Sultan huku ghetto
Njoo nikuonyeshe maisha ya Majengo
Tupitie Mpambe tule wali
Twende Pangani tuchane majani
Aah naona umevaa mini
Na unashinda ukiivuta vuta chini
Ni hio haga inainua sio siri
Samahani ni macho sio mimi
Tumefika humu ndani ya giza
Usijali bei nitalipa
Kidogo msupa akaitisha
Nikasikia amеitisha King Fisher
Eey if you know you know (You know)
King Fisher panty rеmo- aiii
Manze ni leo, leo ndio leo
Kwa nyundo leo watoto na vileo
[Hook]
Baby what’s your name? kuja ujumuike nasi
Kamata kinywaji acha wasi wasi
Kama Tinga linazima ita Taxi
And it's all on me
Bado nasoma namba
Mi naye watoto ni darasa
Punguza selfie nitakukacha

[Chorus]
Watoto na pombe, watoto na pombe
Watoto na pombe, nilichofuata ni
Watoto na pombe, watoto na pombe
Pombe, watoto na pombe
Pombe... Aaah aah... Aaah aah totos
Aaah aah... (Pombe)
Aaah aah totos
Na iwake

[Bridge]
Whiskey River na Kisa
B Club, Golden Ice (na iwake)
Onnex na TapAss
Plug na seven D (na iwake)
Whiskey River na Kisa
B Club, Golden Ice (na iwake)
Onnex na TapAss
Plug na seven D (na iwake)
[Outro: Mejja]
Na Milan pia
Njuguna's na ka local pub
Kwa mama Esther I see you
Moraa